DARASSA ANENA MAISHA YAKE YA MTAANI

Wazazi wangu wako hai wote wawili lakini for years tangu mimi hapa nimezaliwa hawajawahi kuwa wanaishi pamoja,” 
“So asilimia kubwa mimi nimelelewa na bibi yangu, mama yangu, na marehemu dada yangu,” aliongeza.
Kuhusu jina lake Darassa, alidai kuwa alilipata kitambo enzi marehemu Complex yupo hai ambapo alienda kwenye studio zake na kuwakuta watu waliokuwa wakirekodi. Anasema watu hao walionekana kukosea baadhi ya vitu na yeye kuwashauri njia nzuri na hivyo kupelekea kumpa jina ‘Darassa.’
Kwa sasa rapper huyo anafanya vizuri na wimbo wake ‘Too Much.’

About the Author

HOT SWAHILI HIPHOP

Author & Editor

Has laoreet percipitur ad. Vide interesset in mei, no his legimus verterem. Et nostrum imperdiet appellantur usu, mnesarchum referrentur id vim.

0 comments:

Post a Comment

 

© 2015 - Distributed By Free Blogger Templates | Lyrics | Songs.pk | Download Ringtones | HD Wallpapers For Mobile