Bongo Bahati mbaya nlihamasiha vijana waipende Tz yao, kuna line inasema "Mnyamwez kapoteza passport" Yani awez kusafir atabak Tz tu ,hivyo watu wangu wasinielewe vibaya nlichomaanisha kwenye ngoma.Ukiangalia rais wetu Mh John Pombe Magufuli amekuwa mzalendo kiasi kikubwa basi yapasa tumuige,ndio maana napenda hasa sisi tuwe na hollywood yetu Masaki,Kijiji flani wasanii wanaweza wakaishi goodlife wakashoot bongo mvie zao

Young Daresalama:Bongo Bahati mbaya nlihamasiha vijana waipende Tz

Bongo Bahati mbaya nlihamasiha vijana waipende Tz yao, kuna line inasema "Mnyamwez kapoteza passport" Yani awez kusafir atabak Tz ...

New Music;Sina Jambo by Billnass.

http:// youtu.be/-D476h5j4aQ?a  
                   New Msasani Club 19th August 2017 4pm-10pm #hshh 🔥🔥🔥🔥Dont Miss

CYPHER KILINGENI

                   New Msasani Club 19th August 2017 4pm-10pm #hshh 🔥🔥🔥🔥Dont Miss
GHAFLA BIN VUU ANAFANYA VIZURI track yake mpya “YOTE HERI,” Akiwakilisha vyema block za udongo A-town ghafla anaamini kuwa mtaa unahitaji maarifa ya kutosha.Tegemea kazi mpya zaidi kutoka kwake.Tear kuna mixtapes mbili mtaani alizowahi achia pamoja na nyimbo ya washindi."Kitu kikubwa ni kutengeneza kitu kizuri na kazi kubwa ni kuwapa kazi watakayopata knowledge" Unaweza kuskiliza interview yake na K-HooD na kutoa maoni yako pia. Asante sana.

Ghafla on a Phone call Interview with K-HooD of HotSwahiliHipHop

GHAFLA BIN VUU ANAFANYA VIZURI track yake mpya “YOTE HERI,” Akiwakilisha vyema block za udongo A-town ghafla anaamini kuwa mtaa unahita...
Produceer wa music wa hiphop Tanzania mkali @Cjamokertz amezindua clothing line yake aliyoipa jina la #CjamokerWear. Huu ni muendelezo tu wa wa ujasiriamali katika game ya HipHop. Si kitu kigeni kwani hata game ya mbele kumewahi kuwa na clothing line tofauti na zikafanya vizuri. Kama unahitaji Tshirt za #CjamokerWear Fanya kupiga namba hii 0621507339 au WhatsApp 0783164761. #supportUreOwn. Karibu katika blog yetu kila siku na usikose kutembelea page zetu za facebook,twitter na instagram. Ahsante

NEW CJAMOKER WEAR CLOTHING LINE

Produceer wa music wa hiphop Tanzania mkali @Cjamokertz amezindua clothing line yake aliyoipa jina la #CjamokerWear. Huu ni muendelezo tu ...
Herishaa BGMS Ameachia track yake mpya aliyomshirikisha Liz Banks “Tz All Day,” Sinza based MC/PRODUCER na team yake “BGMS MONEY GANG WE HOMMIES” wanazidi iteka mitaa kwa staili yao ya music katika soko la music wa HipHop.Ni vijana wadogo lakini ukiwapa nafasi hutojutia kuwaskiza.Unaweza kuskiliza ngoma yake hapa na interview yake na K-HooD na kutoa maoni yako pia. Asante sana.

Herishaa_bgms on a Phone call Interview with K-HooD of HotSwahiliHipHop 2016 About his career

Herishaa BGMS Ameachia track yake mpya aliyomshirikisha Liz Banks “Tz All Day,” Sinza based MC/PRODUCER na team yake “BGMS MONEY GANG W...
tarehe 01/10/2016 KiLiNGeNi pale pale NEW MSASANI CLUB. SAA 9:00 mpk 4 usiku #2000 kiingilio.Usikose Amani kwa wapenda HipHop Music We Empower,inspire and educate those who shape Hip-Hop culture

#Back to the Cypher

tarehe 01/10/2016 KiLiNGeNi pale pale NEW MSASANI CLUB. SAA 9:00 mpk 4 usiku #2000 kiingilio.Usikose Amani kwa wapenda HipHop Music @Ngome...

 

© 2015 - Distributed By Free Blogger Templates | Lyrics | Songs.pk | Download Ringtones | HD Wallpapers For Mobile