FOLLOW PAGE YETU IG

A video posted by HotSwahiliHipHop (@hotswahilihiphop) on Sep 13, 2016 at 3:20pm PDT

Chemical ft Centano - Am Sorry Mama (Official video)


Lets get real
wakali wa machata au graffiti kwa lugha nyingine @wachata07 wanakuja na onesho jingine kubwa sambamba na burudani toka kwa @maalimnash na @mansu_li 

Mahali ni  #nafasiartspace Ni tales behind the cans.3rd annual wct (wachata crew) graffiti and hip hop exbhition at Nafasi Artspace Jumamosi 17 sept.2016.Usikose All lovers of HipHop Music & Culture


Tanzanian hiphop history in general, inawataja  WCT Crew, ni crew inayojishughulisha na graffiti plus creative arts  ambapo wao wameendeleza harakati za usanifu michoro katika viunga mbalimbali vya jiji la Dar –es- salaam. WCT means WACHATA ni kampuni halali, Mejah Mbuya  ni marketing personnel, Meddy ni procurement manager, Kalasinga,ni meneja ugavi  na Local ni mbunifu mkuu. Jijini Mwanza kuna Edo amabye amejikita kwenye kuchora tattoo, Yuzzo, and Mizani 86 wapo Moshi pia wakiendeleza usanifu wa elementi hii muhimu ya HipHop.
WCT wamezidi pata attention Tanzania sababu media zimeelewa kazi zao na haina ubishi kwamba wameweka misingi chanya na imara kwa watu kwenye suala zima la GRAFFITI. WCT walifika office za East Africa TV Dar-es-Salaam kwa ajili ya kutengeneza ubunifu tofauti katika kipindi cha HOT MIX kinachoruka  Monday-Friday, 5:00 na idea ilikuwa kuleta maudhui ya rangi tofauti tofauti na maandishi yatakayosomeka kirahisi na  iliwachukua takribani masaa matano kumaliza kazi hiyo .


Tembelea
www.facebook.com/wachatacrew AU
www.wachatacrew.blogspot.com
 
WCT @ EATV HOT MIX SHOW DESIGNING


3rd Annual WCT (Wachata Crew) Graffiti and Hip Hop Exbhition

Lets get real wakali wa machata au graffiti kwa lugha nyingine @wachata07 wanakuja na onesho jingine kubwa sambamba na burudani toka ...

Brian Lorenzo Feat. Godzilla - DSM City Remix

Brian Lorenzo Feat. @King_Zillah - DSM City Remix on https://t.co/IbJBCAHl54 — Hot Swahil HipHop (@HotSwahilHipHop) September 12, 2016...


 










Hayo ndiyo yaliyojiri pale Mitaa ya Temeke uwanja wa MADENGE kwenye KINASA 
( kiswahili na Sanaa )

KINASA ( kiswahili na Sanaa )

  Hayo ndiyo yaliyojiri pale Mitaa ya Temeke uwanja wa MADENGE kwenye KINASA   ( kiswahili na Sanaa )
#HipHop_wont_Die

















#HipHop_wont_Die

#HipHop_wont_Die #HipHop_wont_Die — Hot Swahil HipHop (@HotSwahilHipHop) September 10, 2016



Emmy 100 kama anavojulikana katika music amekuletea ngoma yake mpya #Trippin.Mwanadada huyu mwenye sauti ya pekee ni dhahiri kuwa ana uwezo wa mkubwa na amempa shavu rapper kutoka SalaSala Golden Jacob a.k.a GODZILLA.Produza aliyehusika kufanya mdundo ni Herishaa BGMS kutoka mitaa ya K-Nyama DigiDigi Street na Osam amehusika kwenye Mixing na mastering.Trippin itaskika hapahapa Hot Swahili Dar-es-Salaam New Online Hip-Hop Station kwenye vipindi mbalimbali.Bonyeza Hot-Swahili Radio.


UNGANA NASI KATIKA TOVUTI YETU MARIDADI KABISA KWA MASWALA YOTE YA MUSIC,HABARI,MAISHA,MAKALA YA HIP-HOP KILA SIKU NA KUSIKILIZA HOT SWAHILI RADIO LIVE.
KWA UJUMBE AU USHAURI USISITE KUTUTUMIA MAONI YAKO NA UTAJIBIWA MDAU WETU WA DHATI.















HOT SWAHILI HIPHOP
WHATSAPP +255714131936 & SMS
EMAIL: hotswahilihiphop@gmail.com
SMS: 0682319039
TWITTER @hotswahilhiphop
INSTAGRAM :@hotswahilihiphop
FACEBOOK PAGE:https://www.facebook.com/hotswahilihiphop/




New Music: Emmy 100 ft.Godzilla Trippin

Emmy 100 kama anavojulikana katika music amekuletea ngoma yake mpya #Trippin.Mwanadada huyu mwenye sauti ya pekee ni dhahiri kuwa ana...

 

© 2015 - Distributed By Free Blogger Templates | Lyrics | Songs.pk | Download Ringtones | HD Wallpapers For Mobile