3rd Annual WCT (Wachata Crew) Graffiti and Hip Hop Exbhition


Lets get real
wakali wa machata au graffiti kwa lugha nyingine @wachata07 wanakuja na onesho jingine kubwa sambamba na burudani toka kwa @maalimnash na @mansu_li 

Mahali ni  #nafasiartspace Ni tales behind the cans.3rd annual wct (wachata crew) graffiti and hip hop exbhition at Nafasi Artspace Jumamosi 17 sept.2016.Usikose All lovers of HipHop Music & Culture


Tanzanian hiphop history in general, inawataja  WCT Crew, ni crew inayojishughulisha na graffiti plus creative arts  ambapo wao wameendeleza harakati za usanifu michoro katika viunga mbalimbali vya jiji la Dar –es- salaam. WCT means WACHATA ni kampuni halali, Mejah Mbuya  ni marketing personnel, Meddy ni procurement manager, Kalasinga,ni meneja ugavi  na Local ni mbunifu mkuu. Jijini Mwanza kuna Edo amabye amejikita kwenye kuchora tattoo, Yuzzo, and Mizani 86 wapo Moshi pia wakiendeleza usanifu wa elementi hii muhimu ya HipHop.
WCT wamezidi pata attention Tanzania sababu media zimeelewa kazi zao na haina ubishi kwamba wameweka misingi chanya na imara kwa watu kwenye suala zima la GRAFFITI. WCT walifika office za East Africa TV Dar-es-Salaam kwa ajili ya kutengeneza ubunifu tofauti katika kipindi cha HOT MIX kinachoruka  Monday-Friday, 5:00 na idea ilikuwa kuleta maudhui ya rangi tofauti tofauti na maandishi yatakayosomeka kirahisi na  iliwachukua takribani masaa matano kumaliza kazi hiyo .


Tembelea
www.facebook.com/wachatacrew AU
www.wachatacrew.blogspot.com
 
WCT @ EATV HOT MIX SHOW DESIGNING


About the Author

HOT SWAHILI HIPHOP

Author & Editor

Has laoreet percipitur ad. Vide interesset in mei, no his legimus verterem. Et nostrum imperdiet appellantur usu, mnesarchum referrentur id vim.

0 comments:

Post a Comment

 

© 2015 - Distributed By Free Blogger Templates | Lyrics | Songs.pk | Download Ringtones | HD Wallpapers For Mobile