HISTORIA YA GRAFFITI TANZANIA KWA UFUPI













Graffiti are writing drawings that have been scribbled, scratched,or painted illicitly on a wall or other surface often within public view
 Graffiti  pia yaweza tafsiri ujumbe kwa jamii aidha wa kisiasa au kijamii na ni usanii uliotegemea uchorwaji husika wa staili tofauti. Graffiti imekuja sambamba na  muziki wa  hip hop music, b-boying, na elementi zingine.


Vijana walianza kuandika majina yao kwenye kuta mbalimbali mitaani kwa kutumia vipande vya mkaa na lengo lilikuwa  kuacha alama na aina hii ya usanifu ulipewa jina “chata”, a Swahili slang term for graffiti. Staili ya uchoraji kwa mkaa ilibaki hovyo hadi mapema miaka ya  2000s  pale msouth afrika kwa jina Zaki alipofanya jitihada za kuanzisha mchoro Dar es Salaam july 2003. “CURE” ni mchoro wa kwanza katika barabara ya Old Bagamoyo Mikocheni ila kwa Bahati mbaya ,ulifutwa  na baadaye ulirudishwa lakini kinyumenyume na kugeuzwa chini juu.



Tanzanian hiphop history in general, inawataja  WCT Crew, ni crew inayojishughulisha na graffiti plus creative arts  ambapo wao wameendeleza harakati za usanifu michoro katika viunga mbalimbali vya jiji la Dar –es- salaam. WCT means WACHATA ni kampuni halali, Mejah Mbuya  ni marketing personnel, Meddy ni procurement manager, Kalasinga,ni meneja ugavi  na Local ni mbunifu mkuu. Jijini Mwanza kuna Edo amabye amejikita kwenye kuchora tattoo, Yuzzo, and Mizani 86 wapo Moshi pia wakiendeleza usanifu wa elementi hii muhimu ya HipHop.


WCT wamezidi pata attention Tanzania sababu media zimeelewa kazi zao na haina ubishi kwamba wameweka misingi chanya na imara kwa watu kwenye suala zima la GRAFFITI. WCT walifika office za East Africa TV Dar-es-Salaam kwa ajili ya kutengeneza ubunifu tofauti katika kipindi cha HOT MIX kinachoruka  Monday-Friday, 5:00 na idea ilikuwa kuleta maudhui ya rangi tofauti tofauti na maandishi yatakayosomeka kirahisi na  iliwachukua takribani masaa matano kumaliza kazi hiyo .

 






Tembelea
www.facebook.com/wachatacrew AU
www.wachatacrew.blogspot.com

About the Author

HOT SWAHILI HIPHOP

Author & Editor

Has laoreet percipitur ad. Vide interesset in mei, no his legimus verterem. Et nostrum imperdiet appellantur usu, mnesarchum referrentur id vim.

0 comments:

Post a Comment

 

© 2015 - Distributed By Free Blogger Templates | Lyrics | Songs.pk | Download Ringtones | HD Wallpapers For Mobile